Shirika la ndege la Air Uganda limesherehekea mwaka mmoja tangu lilipozinduliwa rasmi
Hata hivyo, mashabiki mitandaoni wamezua mjadala mkali baada ya muundo wa keki ya kuchekesha wa sherehe hiyo kuibuka.
Kulingana na picha ambazo zimeenezwa mitandaoni, keki hiyo haikutengenezwa visivyo na hata kampuni hiyo imekiri jambo hilo.
Habari Nyingine: Picha ya mchuuzi akiuzia mali yake katika gari la GK yasisimua mtandao

Habari Nyingine: ODM yatishia kuwatimua MCA's 11 wa Taita Taveta kwa kususia mkutano Nairobi
‘’Tulijaribu kutengeza keki ya muundo wa ndege lakini kama mlivyona kwenye mitandao ya kijamii hatukufanikiwa’’ Taarifa ya kampuni hiyo ilisoman
Kwa sasa kampuni hiyo imewataka waokaji keki wajitokeze kwa wingi ili washiriki katika shindano hilo ambapo mshindi atafadhiliwa vinono na kuruhusiwa kuwasilisha keki hiyo binafsi.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 073248269.
Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjbIV2gZJmrpqmkaK2ta3NnZioZaeWuKa2xKWgZqOVoLZuxcBmoq6ZlJ22rrXSoZhmpaeWuKJ52JpkpJmdpcKvtYyymGaZmad6trPAp5uaZpipuq0%3D